1
Yakobo 5:16
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Basi muitikiane zambi ninyi kwa ninyi na kuombeana kusudi mupate kuponyeshwa. Maombi ya bidii ya mwenye haki ni yenye faida kubwa.
Compare
Explore Yakobo 5:16
2
Yakobo 5:13
Kati yenu kuna mutu anayekuwa katika mateso? Aombe kwa Mungu. Au kuna mutu anayekuwa katika furaha? Aimbe nyimbo za sifa.
Explore Yakobo 5:13
3
Yakobo 5:15
Nao wakiomba kwa imani, mugonjwa yule atapona, kwa kuwa Bwana atamurudishia afya yake. Na ikiwa amefanya zambi, atasamehewa.
Explore Yakobo 5:15
4
Yakobo 5:14
Kati yenu kuna mugonjwa? Awaite wazee wa kanisa, nao watamwombea wakimupakaa mafuta kwa jina la Bwana.
Explore Yakobo 5:14
5
Yakobo 5:20
mukumbuke neno hili: yule anayemurudisha mwenye zambi toka njia ya upotevu ataokoa roho ya yule kutoka kifo, na zambi nyingi zitasamehewa.
Explore Yakobo 5:20
Home
Bible
Plans
Videos