1
Isaya 9:6
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Utawala wake utastawi siku zote, amani ya ufalme wake haitakoma. Atakamata madaraka ya mufalme Daudi na kutawala juu ya ufalme wake; ataustawisha na kuuimarisha kwa kufuata sheria ya Mungu na kutenda kwa haki tangu sasa na hata milele. Yawe wa majeshi atafanya mambo hayo.
Compare
Explore Isaya 9:6
2
Isaya 9:2
Wewe, ee Mungu, umeongoza taifa, umezidisha furaha yake. Watu wanafurahi mbele yako wana furaha kama kwa wakati wa mavuno, kama vile wanaogawanya vitu walivyonyanganya wanavyofurahi.
Explore Isaya 9:2
3
Isaya 9:7
Yawe ametoa neno juu ya Yakobo nalo litamupata Israeli.
Explore Isaya 9:7
4
Isaya 9:5
Maana mutoto amezaliwa kwa ajili yetu, tumepewa mutoto mwanaume. Naye atapewa mamlaka ya kutawala. Ataitwa: “Mushauri wa Ajabu”, “Mungu Mwenye Nguvu”, “Baba wa Milele”, “Mufalme wa Amani”.
Explore Isaya 9:5
5
Isaya 9:1
Watu waliotembea katika giza wameona mwangaza mukubwa. Watu walioishi katika inchi ya giza kubwa, sasa mwangaza umewaangazia.
Explore Isaya 9:1
6
Isaya 9:3
Maana miti mizito waliyobeba, nira walizokuwa wamefungwa, na fimbo ya wasimamizi, umezivunjavunja kama wakati wa Wamidiani.
Explore Isaya 9:3
7
Isaya 9:4
Viatu vyote vya washambulizi katika vita na nguo zote zenye kujaa damu vitateketezwa kama kuni za kuwasha moto.
Explore Isaya 9:4