Juu ya kuta zako, ee Yerusalema, nimeweka walinzi,
usiku na muchana hawatakaa kimya hata kidogo.
Enyi munaomukumbusha Yawe ahadi yake,
musikae kimya;
musimupe hata nafasi ya kupumzika,
mpaka atakapousimika Yerusalema,
na kuufanya kuwa wenye sifa katika ulimwengu wote.