Nitapanda miti kule katika jangwa:
mierezi, mivinje, mijohoro, na mizeituni;
nitaweka kule katika jangwa:
miberoshi, shindano na misunobari.
Watu wataona jambo hilo,
nao watatambua na kuelewa kwamba
mimi Yawe nimetenda hayo,
mimi Mutakatifu wa Israeli nimefanya jambo hilo.