Ni mutu anayekuwa hivi:
anaishi kwa haki na kusema kwa usawa,
anazarau kabisa utajiri wa unyanganyi,
anakataa kupokea kituliro,
hakubali hata kidogo kusikia mipango ya mauaji,
wala hakubali macho yake yaone maovu.
Mutu wa namna hiyo anaishi kwenye nafasi ya juu,
pahali salama, penye pango na mawe makubwa;
atapewa chakula chake siku zote,
na maji yake ya kunywa hayatakosekana.