1
Isaya 1:18
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Yawe anasema hivi: Mukuje basi, tukate shauri. Zambi zenu zikionekana kuwa nyekundu, zitakuwa nyeupe kama teluji; zikionekana kuwa nyekundu sana, zitakuwa nyeupe kama sufu.
Compare
Explore Isaya 1:18
2
Isaya 1:19
Mukiwa tayari kunitii, mutakula mazao mema ya inchi.
Explore Isaya 1:19
3
Isaya 1:17
mujifunze kutenda mema. Mufuate sheria ya Mungu, mumusaidie mwenye kuteswa, mumupatie yatima haki yake, mutetee haki za wajane.
Explore Isaya 1:17
4
Isaya 1:20
Lakini mukikataa na kuniasi, mutaangamizwa kwa upanga. Maneno haya yanatoka katika kinywa cha Yawe.
Explore Isaya 1:20
5
Isaya 1:16
Mujisafishe, mujitakase; muondoe matendo yenu maovu mbele yangu. Muache kutenda mabaya
Explore Isaya 1:16
6
Isaya 1:15
Munapoinua mikono yenu kwa kuomba, nitauficha uso wangu nisiwaone. Hata mukiomba sana sitawasikia, maana mikono yenu imejaa damu.
Explore Isaya 1:15
7
Isaya 1:13
Musiniletee tena matoleo yenu yasiyokuwa na maana; ninachukizwa na sadaka yenu ya ubani. Muache kufanya sikukuu za mwandamo wa mwezi, Sabato na mikutano ya ibada; sikubali ibada zilizochanganyika na maovu.
Explore Isaya 1:13
8
Isaya 1:3
Ngombe anamufahamu mwenye naye, punda anajua kibanda cha bwana wake; lakini Waisraeli hawajui, watu wangu, hawaelewi!
Explore Isaya 1:3
9
Isaya 1:14
Sipendezwi na sikukuu zenu za mwandamo wa mwezi, pamoja na sikukuu zenu zingine. Zimekuwa muzigo muzito kwangu, nami nimechoka kuzivumilia.
Explore Isaya 1:14