Siku za azabu zimetimia,
siku za kulipiza kisasi zimefika;
Waisraeli lazima wautambue wakati huo!
Ninyi munasema: Nabii ni mupumbafu;
anayeongozwa na roho ni mwenda-wazimu.
Munasema hivyo kwa sababu ya uovu wenu mukubwa,
kwa sababu ya chuki yenu kali juu yake.