1
Waebrania 10:25
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Tusiache kukusanyika pamoja, kama vile wamoja wanavyozoea kufanya. Lakini tuonyane, na zaidi sana kufuatana na vile munavyoona kwamba Siku ya Bwana inakaribia.
Compare
Explore Waebrania 10:25
2
Waebrania 10:24
Tena tushugulikiane kusudi tupate kuvutana sisi kwa sisi kuwa na upendo na kufanya mema.
Explore Waebrania 10:24
3
Waebrania 10:23
Tuendelee kuchunga lile tumaini tuliloshuhudia bila kuchoka, kwa maana Mungu aliyetupatia ahadi ni mwaminifu.
Explore Waebrania 10:23
4
Waebrania 10:36
Munapaswa kuvumilia, kusudi mutimize mapenzi ya Mungu, na kuweza hivi kupewa kile mulichoahidiwa.
Explore Waebrania 10:36
5
Waebrania 10:22
Basi tumwendee Mungu kwa moyo wa uaminifu, kwa imani kamilifu, kwa moyo uliosafishwa toka zamiri mbaya na mwili uliosafishwa na maji safi.
Explore Waebrania 10:22
6
Waebrania 10:35
Basi musikate tumaini, kwa maana litawaletea zawadi kubwa.
Explore Waebrania 10:35
7
Waebrania 10:26-27
Kwa maana tukifanya zambi kwa makusudi tukisha kutambua waziwazi ukweli, hakuna tena sadaka ingine inayoweza kutolewa kwa ajili ya usamehe wa zambi zetu. Lakini inayobaki tu ni kungojea kwa woga hukumu na moto mukali wa Mungu utakaowateketeza waasi.
Explore Waebrania 10:26-27
Home
Bible
Plans
Videos