Basi, Yawe wa majeshi anasema hivi: Mufikiri vizuri juu ya namna munavyofanya!
Munapanda mbegu kwa wingi, lakini munavuna kidogo.
Munakula, lakini hamushibi.
Munakunywa divai, lakini hamutosheki.
Munavaa nguo, lakini bado munasikia baridi.
Mushahara wa mutumishi unakuwa kama umetumbukizwa katika mufuko uliotoboka.