1
Mwanzo 45:5
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Lakini sasa musifazaike wala kuhuzunika kwa kuniuzisha. Mungu ndiye aliyenileta huku niwatangulie, kusudi niyaokoe maisha ya watu.
Compare
Explore Mwanzo 45:5
2
Mwanzo 45:8
Kwa hiyo, si ninyi mulionileta huku, lakini ni Mungu. Ndiye aliyenifanya kama baba kwa mufalme wa Misri, musimamizi wa nyumba yake yote na mutawala wa inchi yote ya Misri.
Explore Mwanzo 45:8
3
Mwanzo 45:7
Mungu alinileta huku niwatangulie ninyi, kwa kuokoa maisha yenu mubaki wazima katika inchi na kuwakomboa kwa ukombozi mukubwa.
Explore Mwanzo 45:7
4
Mwanzo 45:4
Yosefu akawaambia wandugu zake: “Tafazali, musogee karibu nami.” Walipomukaribia, akawaambia: “Mimi ndiye ndugu yenu Yosefu, muliyemwuzisha Misri.
Explore Mwanzo 45:4
5
Mwanzo 45:6
Huu ni mwaka wa pili tu wa njaa katika inchi, na kungali miaka mitano zaidi ambapo watu hawataweza kulima wala kuvuna mavuno.
Explore Mwanzo 45:6
6
Mwanzo 45:3
Yosefu akawaambia wandugu zake: “Mimi ni Yosefu. Baba yangu angali muzima?” Lakini wandugu zake wakapigwa na bumbuazi mbele yake, hata wakashindwa kumujibu.
Explore Mwanzo 45:3
Home
Bible
Plans
Videos