Siku moja, Yosefu akaingia ndani ya nyumba kufanya kazi yake kama kawaida, na watumishi wengine hawakukuwa ndani ya nyumba. Basi, muke wa Potifari akamushika nguo yake na kumwambia: “Lala na mimi!”
Lakini Yosefu akamwachia nguo yake katika mikono yake, akakimbilia inje.