1
Ezra 5:1
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Wakati ule, manabii wawili, Hagai na Zakaria mwana wa Ido, wakawatolea unabii Wayuda waliokuwa wanakaa Yuda na Yerusalema, katika jina la Mungu wa Israeli.
Compare
Explore Ezra 5:1
2
Ezra 5:11
Wao wakatujibu hivi: “Sisi ni watumishi wa Mungu wa mbingu na dunia, na tunaijenga upya nyumba ambayo ilikuwa imejengwa na kumalizika pale mbele na mufalme mumoja mukubwa wa Israeli.”
Explore Ezra 5:11