1
Kutoka 4:11-12
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Halafu Yawe akamwuliza: “Ni nani aliyeumba kinywa cha mutu? Ni nani anayemufanya mutu kuwa bubu au kiziwi? Aone au akuwe kipofu? Si mimi Yawe? Basi, kwenda! Mimi nitaongoza kinywa chako na kukufundisha cha kusema.”
Compare
Explore Kutoka 4:11-12
2
Kutoka 4:10
Lakini Musa akamwambia Yawe: “Ewe Bwana wangu, mimi mutumishi wako sina ufundi wa kusema tangu zamani, hata kisha kusema nawe. Ulimi wangu ni muzito.”
Explore Kutoka 4:10
3
Kutoka 4:14
Halafu hasira ya Mungu ikawaka juu ya Musa, akamwambia: “Si kuna ndugu yako Haruni ambaye ni Mulawi? Ninajua yeye anajua kusema vizuri. Tena anakuja kukutana nawe, na mara tu atakapokuona atafurahi ndani ya moyo.
Explore Kutoka 4:14
Home
Bible
Plans
Videos