1
Esteri 3:6
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Tena alipogundua kwamba Mordekayi alikuwa Muyuda, akaamua kwamba kumwazibu peke yake haitoshi. Basi akafanya shauri la kuwaangamiza Wayuda wote, watu wa ukoo wa Mordekayi, katika utawala wa mufalme Ahasuero.
Compare
Explore Esteri 3:6
2
Esteri 3:2
Mufalme akaamuru wakubwa wote wa serikali yake wamutii Hamani kwa kuinama na kupiga magoti mbele yake. Lakini Mordekayi hakuinama wala kupiga magoti mbele yake.
Explore Esteri 3:2