1
Waefeso 6:12
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Kwa maana hatupigani na watu wa dunia hii, lakini tunapigana na pepo mbaya zinazokaa katika eneo la mbingu pamoja na wakubwa, na wenye mamlaka na watawala wa dunia hii ya giza.
Compare
Explore Waefeso 6:12
2
Waefeso 6:18
Mumwombe Mungu kila wakati mukiongozwa na Roho. Mumwombe na kumusihi kwa kila namna. Kwa hiyo mukeshe bila kuchoka mukiwaombea watu wote wa Mungu.
Explore Waefeso 6:18
3
Waefeso 6:11
Muvae silaha zote Mungu anazowapa, kusudi mupate kushinda mayele ya Shetani.
Explore Waefeso 6:11
4
Waefeso 6:13
Kwa hiyo sasa mutwae silaha zote Mungu anazowapatia. Kwa njia hii mutaweza kushinda adui yenu siku mbaya itakapowafikia. Nanyi mutakapokwisha kumaliza mapigano, mutaweza kusimama imara.
Explore Waefeso 6:13
5
Waefeso 6:16-17
Na zaidi ya hivi vyote, muchunge imani kama vile munavyoshika ngao, kusudi mupate kuzimisha mishale yote yenye moto ya yule Mwovu. Mupokee wokovu kama vile kofia ya chuma ya kuwalinda, na Neno la Mungu kama upanga munaopewa na Roho.
Explore Waefeso 6:16-17
6
Waefeso 6:14-15
Basi, mujiweke tayari: mukijifungia ukweli kama vile mukaba, mukivaa haki kama vile nguo ya chuma ya kukingia kifua, na mukuwe na bidii ya kutangaza Habari Njema ya amani kama vile viatu munavyovaa.
Explore Waefeso 6:14-15
7
Waefeso 6:10
Basi kwa kumaliza, musimame imara katika kuungana kwenu na Bwana kwa uwezo wa nguvu zake kubwa.
Explore Waefeso 6:10
8
Waefeso 6:2-3
“Heshimu baba yako na mama yako.” Hii ni amri ya kwanza ambayo waliongeza ahadi hii juu yake: “Kusudi upate heri na uishi siku nyingi katika dunia.”
Explore Waefeso 6:2-3
9
Waefeso 6:1
Ninyi watoto muwatii wazazi wenu mbele ya Bwana, kwa maana vile ndivyo inavyostahili.
Explore Waefeso 6:1
Home
Bible
Plans
Videos