1
Kumbukumbu la Sheria 34:10
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Hakujatokea tena nabii katika Israeli kama Musa, ambaye Yawe alisema naye uso kwa uso.
Compare
Explore Kumbukumbu la Sheria 34:10
2
Kumbukumbu la Sheria 34:9
Yoshua mwana wa Nuni akajaa roho ya hekima, kwa sababu Musa alikuwa amemuwekea mikono yake. Hivyo Waisraeli wakamutii Yoshua na kufuata amri ambazo Yawe alimupa Musa.
Explore Kumbukumbu la Sheria 34:9
3
Kumbukumbu la Sheria 34:7
Musa alikuwa na umri wa miaka mia moja na makumi mbili alipokufa. Macho yake yalikuwa hayajafifia, na nguvu za mwili wake hazikupunguka.
Explore Kumbukumbu la Sheria 34:7
Home
Bible
Plans
Videos