1
Kumbukumbu la Sheria 24:16
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
“Wazazi wasiuawe kwa makosa ya watoto wao, wala watoto wasiuawe kwa ajili ya makosa ya wazazi wao. Kila mutu atauawa kwa makosa yake mwenyewe.
Compare
Explore Kumbukumbu la Sheria 24:16
2
Kumbukumbu la Sheria 24:5
“Mwanaume aliyetoka kuoa asiende kwa vita wala asipewe kazi yoyote ingine; aachwe huru kwa muda wa mwaka mumoja, kusudi akae kwake na kufurahi na muke wake.
Explore Kumbukumbu la Sheria 24:5
Home
Bible
Plans
Videos