1
Danieli 6:10
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Hivyo, mufalme Dario akatia sahihi kwenye sheria hiyo.
Compare
Explore Danieli 6:10
2
Danieli 6:22
Danieli akamujibu mufalme: Uishi milele, ee mufalme!
Explore Danieli 6:22
3
Danieli 6:26-27
Halafu mufalme Dario akawaandikia watu wa makabila yote, mataifa yote, na luga zote katika dunia: Ninawatakia amani kwa wingi. Ninatoa amri katika ufalme wangu kwamba watu wote wanapaswa kumwogopa na kumuheshimu Mungu wa Danieli.
Explore Danieli 6:26-27
4
Danieli 6:16
Wale watu kwa pamoja wakamwendea mufalme Dario na kumwambia: Ee mufalme, ujue kwamba hakuna sheria wala amri yoyote ya Wamedi na Wapersi inayoweza kubadilishwa kisha kuwekwa na mufalme.
Explore Danieli 6:16