1
Amosi 4:13
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Mungu ndiye aliyeifanya milima, na kuumba upepo; ndiye anayemujulisha mwanadamu mawazo yake; ndiye anayegeuza muchana kuwa usiku, na kukanyaga vilele vya dunia. Yawe wa majeshi ndilo jina lake!
Compare
Explore Amosi 4:13
2
Amosi 4:12
Kwa hiyo, enyi Waisraeli, nitawaazibu. Na kwa sababu nitafanya jambo lile, mujitayarishe kwa kutana na Mungu wenu!
Explore Amosi 4:12
3
Amosi 4:6
Mimi niliwanyima chochote cha kutafuna, nikasababisha ukosefu wa chakula popote. Hata hivyo hamukunirudilia. –Ni ujumbe wa Yawe.
Explore Amosi 4:6