1
Matendo ya Mitume 16:31
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Nao wakajibu: “Umwamini Bwana Yesu, nawe utaokolewa pamoja na watu wote wa nyumba yako.”
Compare
Explore Matendo ya Mitume 16:31
2
Matendo ya Mitume 16:25-26
Na katikati ya usiku, Paulo na Sila walikuwa wakimwomba Mungu na kumwimbia nyimbo za sifa, nao wafungwa wengine walikuwa wakiwasikiliza. Kwa rafla kukatokea tetemeko kubwa la inchi hata misingi ya nyumba ya kifungo ikatikisika. Na pale pale milango yote ikafunguka na minyororo ya wafungwa wote ikakatika.
Explore Matendo ya Mitume 16:25-26
3
Matendo ya Mitume 16:30
Kisha akawapeleka inje na kuwauliza: “Wabwana wangu, inanipasa kufanya nini kusudi nipate kuokolewa!”
Explore Matendo ya Mitume 16:30
4
Matendo ya Mitume 16:27-28
Mulinzi akaamuka, naye alipoona kwamba milango ilikuwa wazi, akachomoa upanga wake kusudi ajiue, kwa sababu aliwaza kama wafungwa wametoroka. Lakini Paulo akalalamika kwa nguvu akisema: “Usijiue, kwa maana sisi wote tuko hapa!”
Explore Matendo ya Mitume 16:27-28
Home
Bible
Plans
Videos