1
2 Timoteo 4:7
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Nimeshindana vizuri, nimekimbia na kufika mwisho wa mashindano yangu. Nimelinda imani yangu.
Compare
Explore 2 Timoteo 4:7
2
2 Timoteo 4:2
utangaze Neno la Mungu kwa nguvu kwa wakati unaofaa na kwa wakati usiofaa. Ukaripe, usahihishe na kuonya ukifundisha kwa uvumilivu.
Explore 2 Timoteo 4:2
3
2 Timoteo 4:3-4
Maana kutakuja wakati watu watakapokataa kusikiliza mafundisho ya kweli, lakini watafuata tamaa zao wenyewe wakijitafutia walimu wengi kwa kuwafundisha mambo yale wanayotamani kusikia. Watafunga masikio yao wasisikilize mambo ya kweli na kusikiliza hadisi za uongo.
Explore 2 Timoteo 4:3-4
4
2 Timoteo 4:5
Lakini wewe, ujiangalie katika mambo yote, uvumilie mateso, ufanye kazi yako ya kuhubiri Habari Njema na kutimiza kabisa utumishi wako.
Explore 2 Timoteo 4:5
5
2 Timoteo 4:8
Tangia sasa nimetayarishiwa zawadi ya ushindi, ndiyo ile taji ya haki, ambayo Bwana anayekuwa Mwamuzi wa haki atakayonipa siku ile ya kurudi kwake. Wala hatanipa mimi peke yangu tu, lakini na wale wote wanaopenda kumwona wakati atakaporudi.
Explore 2 Timoteo 4:8
Home
Bible
Plans
Videos