1
2 Wafalme 22:19
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Wakati uliposikia niliyosema juu ya pahali hapa na juu ya wakaaji wake, kwamba watakuwa ukiwa na kulaaniwa, ulijuta na kunyenyekea mbele yangu, hata ukapasua nguo yako na kulia mbele yangu. Basi, nami vilevile nimekusikia.
Compare
Explore 2 Wafalme 22:19
2
2 Wafalme 22:20
Kwa hiyo, nitakukusanya pamoja na babu zako nawe utazikwa katika kaburi kwa amani, macho yako hayataona uovu nitakaoleta juu ya pahali hapa.” Basi wajumbe wakamuletea mufalme Yosia habari hii.
Explore 2 Wafalme 22:20