1
2 Wafalme 18:5
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Hezekia alimutegemea Yawe, Mungu wa Israeli; hakuna aliyekuwa kama yeye kati ya wafalme wa Yuda waliomufuata au waliomutangulia.
Compare
Explore 2 Wafalme 18:5
2
2 Wafalme 18:6
Yeye hakumwasi Yawe wala hakuacha kumufuata, lakini alishika amri ambazo Yawe alimupa Musa.
Explore 2 Wafalme 18:6
3
2 Wafalme 18:7
Basi, Yawe alikuwa pamoja naye, na alimwezesha kwa kila jambo alilotenda. Alimwasi mufalme wa Asuria na kukataa kumutumikia.
Explore 2 Wafalme 18:7