1
2 Wafalme 13:21
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Siku moja, wakati wa mazishi, watu waliona moja kati ya makundi yale. Wakatupa maiti katika kaburi la Elisha na kukimbia. Mara tu maiti hiyo ilipogusa mifupa ya Elisha, ilifufuka na kusimama wima.
Compare
Explore 2 Wafalme 13:21