1
2 Mambo ya Siku 7:14
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
kama watu wangu hao wakijinyenyekeza, wakiomba, wakinitafuta na kuacha njia zao mbaya, basi, mimi nitawasikiliza kutokea juu mbinguni, nitawasamehe zambi yao na kustawisha inchi yao.
Compare
Explore 2 Mambo ya Siku 7:14
2
2 Mambo ya Siku 7:15
Sasa nitachunga hekalu hili na kusikiliza maombi yatakayofanyika hapa
Explore 2 Mambo ya Siku 7:15
3
2 Mambo ya Siku 7:16
kwa maana nimetakasa nyumba hii kusudi watu waliabudu jina langu hapa milele. Nitailinda na kuipenda siku zote.
Explore 2 Mambo ya Siku 7:16
4
2 Mambo ya Siku 7:13
Nikiwanyima mvua au nikiwaletea nzige wakule mimea yao au nikiwapiga kwa ugonjwa mukali
Explore 2 Mambo ya Siku 7:13
5
2 Mambo ya Siku 7:12
Kisha Yawe akamutokea usiku, akamwambia: “Nimesikia maombi yako na nimechagua pahali hapa pakuwe nyumba yangu ya kunitolea sadaka.
Explore 2 Mambo ya Siku 7:12