1
2 Mambo ya Siku 26:5
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Akamutumikia Yawe kwa uaminifu wakati wa kuishi kwa Zakaria, aliyemufundisha kumutii Mungu. Kwa jinsi alivyomutafuta Mungu, Mungu alimufanikisha.
Compare
Explore 2 Mambo ya Siku 26:5
2
2 Mambo ya Siku 26:16
Lakini wakati mufalme Uzia alipokuwa na nguvu, moyo wake akajaa kiburi ambacho kilisababisha maangamizi yake. Akamwasi Yawe wake kwa kuingia ndani ya hekalu akikusudia kufukiza ubani juu ya mazabahu.
Explore 2 Mambo ya Siku 26:16