1
2 Mambo ya Siku 18:13
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Lakini Mikaya akamujibu: “Kama vile Yawe anavyoishi, kile Mungu wangu atakachoniambia, ndicho nitakachosema.”
Compare
Explore 2 Mambo ya Siku 18:13
2
2 Mambo ya Siku 18:22
“Basi sasa angalia: Yawe ametia pepo wa uongo katika vinywa vya manabii wako. Lakini Yawe amesema mabaya juu yako!”
Explore 2 Mambo ya Siku 18:22
3
2 Mambo ya Siku 18:20
Kisha, pepo mumoja akajitokeza mbele ya Yawe, akasema: ‘Mimi nitamushawishi.’ Yawe akamwuliza: ‘Kwa njia gani?’
Explore 2 Mambo ya Siku 18:20
4
2 Mambo ya Siku 18:19
Halafu Yawe akauliza: ‘Ni nani atakayemushawishi Ahabu mufalme wa Israeli aende aangamie kule Ramoti-Gileadi?’ Kila mumoja akajibu sawa alivyofikiri.
Explore 2 Mambo ya Siku 18:19