1
1 Samweli 2:2
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Hakuna anayekuwa mutakatifu kama Yawe; hakuna yeyote anayekuwa kama yeye; hakuna anayekuwa jiwe la kufichamia kama Mungu wetu.
Compare
Explore 1 Samweli 2:2
2
1 Samweli 2:8
Anawainua wazaifu toka katika mavumbi, anawanyanyua wakosefu toka katika majivu, na kuwaikalisha pamoja na wakubwa, na kuwarizisha viti vya heshima. Maana, minara ya dunia ni ya Yawe; yeye ameisimika dunia juu ya minara yake.
Explore 1 Samweli 2:8
3
1 Samweli 2:9
Anayalinda maisha ya waaminifu wake, lakini anaangamiza maisha ya waovu katika giza. Maana, mwanadamu hapati ushindi kwa nguvu zake.
Explore 1 Samweli 2:9
4
1 Samweli 2:7
Yawe anawafanya wamoja wakuwe wamasikini, na wengine wakuwe watajiri. Anawashusha wamoja, na kuwainua wengine.
Explore 1 Samweli 2:7
5
1 Samweli 2:6
Yawe anaua na kufufua, yeye anawashusha katika kuzimu naye anawarudisha tena.
Explore 1 Samweli 2:6