1
1 Wafalme 3:9
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Kwa hiyo, ninakuomba unipe mimi mutumishi wako moyo wa hekima nipate kuamua watu wako, niweze kutambua mazuri na mabaya; maana ni nani anayeweza kuhukumu watu wako wanaokuwa wengi hivi?”
Compare
Explore 1 Wafalme 3:9
2
1 Wafalme 3:12
basi, sasa ninakutimizia kama ulivyoomba. Ninakupa hekima na akili kwa kipimo ambacho hakuna mutu mwingine aliyepata kuwa nacho mbele yako, na wala hakutatokea mwingine kama wewe nyuma yako.
Explore 1 Wafalme 3:12
3
1 Wafalme 3:11
naye akamwambia: “Kwa sababu umetoa ombi hili, na haukujiombea maisha marefu au mali, na wala haukuomba waadui zako waangamizwe, lakini umejiombea hekima ya kutoa hukumu au kutenda haki
Explore 1 Wafalme 3:11
4
1 Wafalme 3:13
Vilevile, nitakupa yale ambayo haukuomba: nitakupa utajiri na heshima zaidi ya mufalme mwingine yeyote wa nyakati zako.
Explore 1 Wafalme 3:13
5
1 Wafalme 3:14
Tena kama ukifuata njia yangu na kushika masharti na amri zangu kama vile baba yako Daudi alivyofanya, basi, nitakupa maisha marefu.”
Explore 1 Wafalme 3:14
6
1 Wafalme 3:5
Kule Gibeoni, Yawe alimutokea Solomono katika ndoto usiku, akamwambia: “Omba kitu chochote unachotaka nami nitakupa.”
Explore 1 Wafalme 3:5
7
1 Wafalme 3:7
Ee Yawe, Mungu wangu, umeniweka mimi mutumishi wako kuwa mufalme pahali pa baba yangu Daudi, ijapokuwa ningali mutoto mudogo na sijui namna ya kutimiza kazi hii.
Explore 1 Wafalme 3:7
8
1 Wafalme 3:10
Ombi hili la Solomono lilimufurahisha Yawe
Explore 1 Wafalme 3:10
9
1 Wafalme 3:6
Solomono akamwambia: “Ulimwonyesha wema mwingi mutumishi wako Daudi, baba yangu, kwa sababu alikutumikia kwa uaminifu, kwa haki na kwa moyo wa usawa; na umedumisha mema yako kwa kumupa mwana anayeikaa sasa kwenye kiti chake cha kifalme.
Explore 1 Wafalme 3:6
10
1 Wafalme 3:8
Na hapa umeniweka kati ya watu wako ambao umewachagua; nao ni wengi hata hawawezi kuhesabika kwa sababu ya wingi wao.
Explore 1 Wafalme 3:8