1
1 Wafalme 16:31
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Tena, zaidi ya kufuata mwenendo mubaya wa Yeroboamu mwana wa Nebati, Ahabu alimwoa Yezebeli binti ya Etibali mufalme wa Wasidoni. Akamutumikia na kumwabudu Bali.
Compare
Explore 1 Wafalme 16:31
2
1 Wafalme 16:30
Ahabu alitenda maovu mbele ya Yawe kuliko wafalme wote waliomutangulia.
Explore 1 Wafalme 16:30