1
1 Wafalme 14:8
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
nikaunyanganya ufalme utoke kwa wazao wa Daudi, nikakupa wewe. Lakini wewe ni kinyume kabisa cha mutumishi wangu Daudi ambaye alizishika amri zangu. Alifuata mapenzi yangu kwa moyo wake wote na kutenda tu yanayokuwa sawa mbele ya macho yangu.
Compare
Explore 1 Wafalme 14:8
2
1 Wafalme 14:9
Wewe umetenda uovu mubaya zaidi kuliko waliotenda wale waliokutangulia. Wewe umenikasirikisha kwa kujitengenezea miungu mingine na sanamu za kufua, kisha umeniacha.
Explore 1 Wafalme 14:9