1
1 Wafalme 11:4
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Maana, alipokuwa muzee, wake zake walimupotosha hata akaitumikia miungu mingine, wala hakukuwa mwaminifu kabisa kwa Yawe, Mungu wake, kama baba yake Daudi alivyokuwa mwaminifu.
Compare
Explore 1 Wafalme 11:4
2
1 Wafalme 11:9
Basi, Yawe alimukasirikia Solomono, kwa sababu alikuwa amemwacha Yawe, Mungu wa Israeli, ingawa yeye alikuwa amemutokea mara mbili
Explore 1 Wafalme 11:9