1
1 Yoane 3:18
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Watoto wangu, upendo wetu usikuwe wa masemi tu; lakini unapaswa kuwa upendo wa kweli na unaoonekana kwa matendo.
Compare
Explore 1 Yoane 3:18
2
1 Yoane 3:16
Sisi tumetambua upendo kwa njia hii: Yesu Kristo alitoa uzima wake kwa ajili yetu. Nasi vilevile tunapaswa kutoa uzima wetu kwa ajili ya wandugu zetu.
Explore 1 Yoane 3:16
3
1 Yoane 3:1
Muangalie namna Baba alivyoonyesha upendo wake kwetu hata tupate kuitwa watoto wa Mungu! Na kwa hakika sisi ndio wao! Ndiyo maana watu wa dunia hawatutambui, kwa sababu hawakumujua Mungu.
Explore 1 Yoane 3:1
4
1 Yoane 3:8
Mutu anayefanya zambi ni mutu wa Shetani, kwa maana Shetani anafanya zambi tangia mwanzo wa vitu vyote. Kwa sababu hii, Mwana wa Mungu alikuja kusudi aharibu kazi za Shetani.
Explore 1 Yoane 3:8
5
1 Yoane 3:9
Kila mutu anayekuwa mutoto wa Mungu hafanyi zambi, kwa sababu neno la Mungu linakaa ndani yake; tena hawezi kufanya zambi, maana Mungu ni baba yake.
Explore 1 Yoane 3:9
6
1 Yoane 3:17
Mutu akiwa na mali ya dunia hii naye akimwona ndugu yake katika hitaji, lakini hataki kumusikilia huruma, mutu yule anaweza kusema kwamba anamupenda Mungu?
Explore 1 Yoane 3:17
7
1 Yoane 3:24
Mutu anayetii amri za Mungu anakaa ndani yake, na Mungu anakaa ndani ya yule mutu. Tunatambua kwamba Mungu anakaa ndani yetu kwa njia ya Roho Mutakatifu aliyetupatia.
Explore 1 Yoane 3:24
8
1 Yoane 3:10
Hii ndiyo njia inayoonyesha wazi tofauti kati ya watoto wa Mungu na watoto wa Shetani. Mutu asiyetenda mambo ya haki au asiyemupenda ndugu yake si mutoto wa Mungu.
Explore 1 Yoane 3:10
9
1 Yoane 3:11
Kwa maana huu ndio ujumbe muliosikia tangia mbele: tupendane sisi kwa sisi.
Explore 1 Yoane 3:11
10
1 Yoane 3:13
Basi wandugu zangu, musishangae kama watu wa dunia hii wakiwachukia ninyi.
Explore 1 Yoane 3:13
Home
Bible
Plans
Videos