1
1 Yoane 1:9
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Lakini tukiitikia zambi zetu mbele ya Mungu, yeye atatusamehe zambi zetu na kutusafisha toka katika maovu yote kwa maana yeye ni mwaminifu na mwenye haki.
Compare
Explore 1 Yoane 1:9
2
1 Yoane 1:7
Lakini kama tunaishi katika mwangaza kama vile Mungu mwenyewe anavyokaa katika mwangaza, tunashirikiana sisi kwa sisi, na damu ya Mwana wake Yesu inasafisha zambi zetu zote.
Explore 1 Yoane 1:7
3
1 Yoane 1:8
Tukisema kwamba hatuna zambi, tunajidanganya sisi wenyewe, wala ukweli hauko ndani yetu.
Explore 1 Yoane 1:8
4
1 Yoane 1:5-6
Na hii ndiyo habari tuliyoisikia kutoka kwa Yesu Kristo na kuitangaza kwenu: Mungu ni mwangaza, na ndani yake hamuna giza hata kidogo. Tukisema kwamba tunashirikiana naye, lakini tunaishi katika giza, tunasema uongo, nayo matendo yetu si ya kweli.
Explore 1 Yoane 1:5-6
5
1 Yoane 1:10
Tukisema kwamba hatukutenda zambi, tunamugeuza Mungu kuwa mwongo, na ukweli wa neno lake si ndani yetu.
Explore 1 Yoane 1:10
Home
Bible
Plans
Videos