1
1 Wakorinto 8:6
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Ingawa hivi, kwa ngambo yetu sisi tuko na Mungu mumoja peke yake tu, ndiye Baba aliyeumba vitu vyote, nasi tunaishi kwa nguvu yake. Vilevile kuko Bwana mumoja tu, ndiye Yesu Kristo. Kwa njia yake vitu vyote viliumbwa, nasi tunaishi kwa nguvu yake.
Compare
Explore 1 Wakorinto 8:6
2
1 Wakorinto 8:1-2
Sasa tuangalie mambo yanayoelekea nyama zinazotolewa kwa kutambikia sanamu za miungu: tunajua kwamba “sisi wote tuko na elimu,” kama vile munavyozoea kusema. Elimu inamufanya mutu kuwa na kiburi, lakini upendo unawajenga watu katika imani. Kama mutu anajizania kwamba anajua kitu, yeye hakijui hakika sawa vile inavyomupasa kukijua.
Explore 1 Wakorinto 8:1-2
3
1 Wakorinto 8:13
Kwa hiyo chakula kikimwangusha ndugu yangu katika zambi, nitajizuiza kula nyama siku zote kusudi nisimwangushe ndugu yangu.
Explore 1 Wakorinto 8:13
4
1 Wakorinto 8:9
Lakini, muangalie vizuri kusudi uhuru wenu usiangushe wale wanaokuwa zaifu katika imani.
Explore 1 Wakorinto 8:9
Home
Bible
Plans
Videos