1
1 Wakorinto 10:13
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Majaribu yale munayopata, ni yale yanayowapata watu wengine wote. Mungu hatawaachilia kujaribiwa kupita nguvu zenu, kwa maana yeye ni mwaminifu. Jaribu litakapowatokea, atawapatia nguvu ya kulivumilia, hata muweze kulishinda.
Compare
Explore 1 Wakorinto 10:13
2
1 Wakorinto 10:31
Basi, kama mukikula au mukikunywa, au mukifanya neno lolote, mufanye yote kwa ajili ya utukufu wa Mungu.
Explore 1 Wakorinto 10:31
3
1 Wakorinto 10:12
Kwa hiyo yule anayefikiri kwamba anasimama imara, afanye angalisho asianguke.
Explore 1 Wakorinto 10:12
4
1 Wakorinto 10:23
Wamoja wenu wanasema: “Vitu vyote vinaruhusiwa.” Ni kweli, lakini vyote havifai. “Vitu vyote vinaruhusiwa,” lakini vyote havifai kwa kujenga imani.
Explore 1 Wakorinto 10:23
5
1 Wakorinto 10:24
Mutu asitafute faida yake mwenyewe, lakini faida ya mwenzake.
Explore 1 Wakorinto 10:24
Home
Bible
Plans
Videos