1
1 Mambo ya Siku 4:10
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Lakini Yebesi alimwomba Mungu wa Israeli akisema: “Ee Mungu, ninakusihi unibariki na kupanua mipaka yangu. Mukono wako ukuwe pamoja nami na unilinde kutokana na jambo lolote ovu, na mateso yasinipate.” Naye Mungu akamupa yale aliyoomba.
Compare
Explore 1 Mambo ya Siku 4:10
2
1 Mambo ya Siku 4:9
Kulikuwa mutu mumoja jina lake Yabesi, aliyeheshimiwa kuliko wandugu zake wote. Mama yake alimupa jina la Yebesi kwa sababu alizaa kwa maumivu.
Explore 1 Mambo ya Siku 4:9