1
1 Mambo ya Siku 16:11
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Mumutafute Yawe mwenye nguvu; mumutafute Yawe siku zote.
Compare
Explore 1 Mambo ya Siku 16:11
2
1 Mambo ya Siku 16:34
Mumushukuru Yawe! Yeye ni muzuri, wema wake unadumu milele!
Explore 1 Mambo ya Siku 16:34
3
1 Mambo ya Siku 16:8
Mutangaze ukubwa wa Yawe, mujulishe mataifa mambo aliyoyatenda!
Explore 1 Mambo ya Siku 16:8
4
1 Mambo ya Siku 16:10
Mujisifu kwa ajili ya jina lake takatifu; wanaomutafuta Yawe wafurahi.
Explore 1 Mambo ya Siku 16:10
5
1 Mambo ya Siku 16:12
Mukumbuke matendo ya ajabu aliyotenda, maajabu yake na hukumu alizotoa
Explore 1 Mambo ya Siku 16:12
6
1 Mambo ya Siku 16:9
Mushangilie, mumwimbie Mungu sifa; mueleze matendo yake ya ajabu!
Explore 1 Mambo ya Siku 16:9
7
1 Mambo ya Siku 16:25
Maana Yawe ni mukubwa, anasifika sana anastahili kuheshimiwa kuliko miungu yote.
Explore 1 Mambo ya Siku 16:25
8
1 Mambo ya Siku 16:29
Mumupe Yawe heshima ya utukufu wa jina lake; mulete sadaka na kuingia katika nyumba yake. Mumwabudu Yawe katika Pahali Patakatifu pake.
Explore 1 Mambo ya Siku 16:29
9
1 Mambo ya Siku 16:27
Utukufu na sifa vinamuzunguka, nguvu na furaha vinajaza pahali pake.
Explore 1 Mambo ya Siku 16:27
10
1 Mambo ya Siku 16:23
Mumwimbie Yawe, ulimwengu wote. Mutangaze kila siku matendo yake ya wokovu.
Explore 1 Mambo ya Siku 16:23
11
1 Mambo ya Siku 16:24
Mutangazie mataifa utukufu wake, muwaelezee watu wote matendo yake ya ajabu.
Explore 1 Mambo ya Siku 16:24
12
1 Mambo ya Siku 16:22
“Musiwaguse wachaguliwa wangu; musiwazuru manabii wangu!”
Explore 1 Mambo ya Siku 16:22
13
1 Mambo ya Siku 16:26
Miungu yote ya mataifa mengine si kitu; lakini Yawe ndiye aliyeumba mbingu.
Explore 1 Mambo ya Siku 16:26
14
1 Mambo ya Siku 16:15
Yeye anashika agano lake milele, anatimiza ahadi zake kwa vizazi elfu.
Explore 1 Mambo ya Siku 16:15
15
1 Mambo ya Siku 16:31
Mufurahi enyi mbingu na dunia! Muambie mataifa: “Yawe anatawala!”
Explore 1 Mambo ya Siku 16:31
16
1 Mambo ya Siku 16:36
Asifiwe Yawe, Mungu wa Israeli, tangu milele na hata milele! Kisha watu wote wakasema: “Amina!” Wakamusifu Yawe vilevile.
Explore 1 Mambo ya Siku 16:36
17
1 Mambo ya Siku 16:28
Mumupe Yawe heshima, enyi jamii zote za watu, mutangaze utukufu na nguvu yake.
Explore 1 Mambo ya Siku 16:28