1
Mdo 24:16
Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia
SUV
Nami ninajizoeza katika neno hili niwe na dhamiri isiyo na hatia mbele za Mungu na mbele ya watu siku zote.
Compare
Explore Mdo 24:16
2
Mdo 24:25
Na Paulo alipokuwa akitoa hoja zake katika habari ya haki, na kuwa na kiasi, na hukumu itakayokuja, Feliki akafanya hofu akajibu, Sasa enenda zako, nami nikipata nafasi nitakuita.
Explore Mdo 24:25