1
Zaburi 119:105
Neno: Bibilia Takatifu
Neno lako ni taa ya miguu yangu na mwanga katika njia yangu.
Compare
Explore Zaburi 119:105
2
Zaburi 119:11
Nimelificha neno lako moyoni mwangu ili nisikutende dhambi.
Explore Zaburi 119:11
3
Zaburi 119:9
Kijana aifanye njia yake kuwa safi jinsi gani? Ni kwa kutii, akilifuata neno lako.
Explore Zaburi 119:9
4
Zaburi 119:2
Heri wale wanaozishika shuhuda zake, wamtafutao kwa moyo wao wote.
Explore Zaburi 119:2
5
Zaburi 119:114
Wewe ni kimbilio langu na ngao yangu, nimeweka tumaini langu katika neno lako.
Explore Zaburi 119:114
6
Zaburi 119:34
Nipe ufahamu, nami nitaishika sheria yako na kuitii kwa moyo wangu wote.
Explore Zaburi 119:34
7
Zaburi 119:36
Ugeuze moyo wangu kuelekea sheria zako, na siyo kwenye mambo ya ubinafsi.
Explore Zaburi 119:36
8
Zaburi 119:71
Ilikuwa vyema mimi kupata shida ili nipate kujifunza maagizo yako.
Explore Zaburi 119:71
9
Zaburi 119:50
Faraja yangu katika mateso yangu ni hii: Ahadi yako inahifadhi maisha yangu.
Explore Zaburi 119:50
10
Zaburi 119:35
Niongoze kwenye njia ya amri zako, kwa kuwa huko napata furaha.
Explore Zaburi 119:35
11
Zaburi 119:33
Ee BWANA, nifundishe kuyafuata maagizo yako, nami nitayashika mpaka mwisho.
Explore Zaburi 119:33
12
Zaburi 119:28
Nafsi yangu imechakazwa kwa huzuni, uniimarishe sawasawa na neno lako.
Explore Zaburi 119:28
13
Zaburi 119:97
Aha! Tazama, sheria yako naipenda mno ajabu. Ninaitafakari mchana kutwa.
Explore Zaburi 119:97
YouVersion uses cookies to personalize your experience. By using our website, you accept our use of cookies as described in our Privacy Policy
Home
Bible
Plans
Videos