1
Mathayo 3:8
Neno
NEN
Basi zaeni matunda yastahiliyo toba.
Compare
Explore Mathayo 3:8
2
Mathayo 3:17
Nayo sauti kutoka mbinguni ikasema, “Huyu ni Mwanangu mpendwa; ninapendezwa sana naye.”
Explore Mathayo 3:17
3
Mathayo 3:16
Naye Yesu alipokwisha kubatizwa, mara alipotoka ndani ya maji, ghafula mbingu zikafunguka, akamwona Roho wa Mungu akishuka kama hua na kutulia juu yake.
Explore Mathayo 3:16
4
Mathayo 3:11
“Mimi nawabatiza kwa maji kwa ajili ya toba. Lakini nyuma yangu anakuja yeye aliye na uwezo kuliko mimi, ambaye sistahili hata kuvichukua viatu vyake. Yeye atawabatiza kwa Roho Mtakatifu na kwa moto.
Explore Mathayo 3:11
5
Mathayo 3:10
Hata sasa shoka limeshawekwa tayari katika shina la kila mti, basi kila mti usiozaa matunda mazuri, hukatwa na kutupwa motoni.
Explore Mathayo 3:10
6
Mathayo 3:3
Huyu ndiye yule aliyenenwa habari zake na nabii Isaya aliposema: “Sauti ya mtu aliaye nyikani, ‘Itengenezeni njia kwa ajili ya Bwana, yanyoosheni mapito yake.’”
Explore Mathayo 3:3