1
Matendo 12:5
Neno
NEN
Kwa hiyo Petro akawekwa gerezani, lakini kanisa lilikuwa likimwombea kwa Mungu kwa bidii.
Compare
Explore Matendo 12:5
2
Matendo 12:7
Ghafula malaika wa Bwana akatokea, na nuru ikamulika mle ndani ya gereza. Yule malaika akampiga Petro ubavuni na kumwamsha, akisema, “Ondoka upesi!” Mara ile minyororo ikaanguka kutoka mikononi mwa Petro.
Explore Matendo 12:7