1
2 Wakorintho 3:17
Neno: Bibilia Takatifu 2025
NENO
Basi Bwana ndiye Roho. Mahali alipo Roho wa Bwana, hapo pana uhuru.
Compare
Explore 2 Wakorintho 3:17
2
2 Wakorintho 3:18
Nasi sote, tukiwa na nyuso zisizotiwa utaji, tunadhihirisha utukufu wa Bwana kama kwenye kioo. Nasi tunabadilishwa ili tufanane naye, toka utukufu hadi utukufu mkuu zaidi, unaotoka kwa Bwana, aliye Roho.
Explore 2 Wakorintho 3:18
3
2 Wakorintho 3:16
Lakini wakati wowote mtu anapomgeukia Bwana, utaji unaondolewa.
Explore 2 Wakorintho 3:16
4
2 Wakorintho 3:5-6
Si kwamba sisi tunafikiri kuwa tunaweza kufanya jambo lolote wenyewe, lakini utoshelevu wetu unatoka kwa Mungu. Ndiye alitutosheleza kuwa wahudumu wa agano jipya: si wa andiko, bali wa Roho; kwa kuwa andiko huua, bali Roho hutia uzima.
Explore 2 Wakorintho 3:5-6
Home
Bible
Plans
Videos