YouVersion embleem
BybelLeesplanneVideo's
Kry die toep
Taalkieser
Soek-ikoon

Gewilde Bybelverse vanaf Luka 19

1

Luka 19:10

Biblia Habari Njema

BHND

Kwa maana Mwana wa Mtu amekuja kutafuta na kuokoa waliopotea.”

Vergelyk

Verken Luka 19:10

2

Luka 19:38

Biblia Habari Njema

BHND

wakawa wanasema: “Abarikiwe Mfalme ajaye kwa jina la Bwana. Amani mbinguni, na utukufu juu mbinguni!”

Vergelyk

Verken Luka 19:38

3

Luka 19:9

Biblia Habari Njema

BHND

Yesu akamwambia, “Leo wokovu umefika katika nyumba hii, kwa vile huyu pia ni wa ukoo wa Abrahamu.

Vergelyk

Verken Luka 19:9

4

Luka 19:5-6

Biblia Habari Njema

BHND

Basi, Yesu alipofika mahali pale, aliangalia juu akamwambia, “Zakayo, shuka upesi, maana leo ni lazima nishinde nyumbani mwako.” Zakayo akashuka haraka, akamkaribisha kwa furaha.

Vergelyk

Verken Luka 19:5-6

5

Luka 19:8

Biblia Habari Njema

BHND

Lakini Zakayo akasimama, akamwambia Yesu, “Sikiliza Bwana! Mimi nitawapa maskini nusu ya mali yangu, na kama nimenyanganya mtu yeyote kitu, nitamrudishia mara nne.”

Vergelyk

Verken Luka 19:8

6

Luka 19:39-40

Biblia Habari Njema

BHND

Hapo baadhi ya Mafarisayo waliokuwako katika lile kundi la watu wakamwambia Yesu, “Mwalimu, wanyamazishe wanafunzi wako!” Yesu akawajibu, “Nawaambieni, kama hawa wakinyamaza, hakika hayo mawe yatapaza sauti.”

Vergelyk

Verken Luka 19:39-40

Gratis leesplanne en oordenkings oor Luka 19

Vorige hoofstuk
Volgende hoofstuk
YouVersion

Moedig jou aan en daag jou uit om elke dag intimiteit met God op te soek.

Bediening

Iets oor ons

Loopbane

Vrywilliger

Webjoernaal

Media

Nuttige skakels

Hulp

Skenk

Bybelweergawes

Klankbybels

Bybeltale

Vers-van-die-dag


'n Digitale bediening van

Life.Church
English (US)

©2025 Life.Church / YouVersion

PrivaatheidsbeleidVoorwaardes
Program vir die openbaarmaking van kwesbaarheid
FacebookTwitterInstagramYouTubePinterest

Tuisblad

Bybel

Leesplanne

Video's