Soma Biblia Kila Siku Mei 2021预览

Soma Biblia Kila Siku Mei 2021

31天中的第30天

Kitabu cha Ayubu ni simulizi ndefu ambapo Ayubu alipatwa na mateso mengi. Wakati alipokuwa akiteseka, marafiki zake, Elifazi na wenzake watatu, walimtuhumu Ayubu kwamba alikuwa anapata taabu kwa sababu alikuwa mdhambi. Hawakufahamu kuwa mapito ya Ayubu yalikuwa ni kusudi la Mungu. Ni rahisi kuwahukumu wenzetu kwa jambo lisilo sahihi. Biblia yafundisha: "Msihukumu msije mkahukumiwa ninyi". Kama una nafasi, tafuta kusoma Mt 7:1-5 kwa ufafanuzi mpana zaidi. Tuwahurumie wenzetu na kuwaombea katika dhiki zao.



读经计划介绍

Soma Biblia Kila Siku Mei 2021

Soma Biblia Kila Siku Mei 2021 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu hasa katika kitabu cha Marko na Ayubu. Mpango huu una maelezo mafupi yatakayokusaidia kuelewa zaidi Neno la Mungu. Karibu kujiunga na mpango huu

More