Soma Biblia Kila Siku 05/2020预览

Soma Biblia Kila Siku 05/2020

31天中的第8天

Neno kuu la zaburi hii ni: Msifu Mungu wako (m.12)! Tumesikia juu ya mambo mengi makubwa, lakini katika viumbe vyake vyote, anapendezwa zaidi na wale ambao katika unyenyekevu wao hutegemea upendo wake daima. Bwana huwaridhia wao wamchao, na kuzitarajia fadhili zake (m.11). Watu wa Mungu wanatunzwa na kuhifadhiwa kwa mambo yote, lakini zaidi ya hayo Mungu amewapa neno lake ambalo kwa hilo wanaweza kumjua na hivyo kumpendeza zaidi.

读经计划介绍

Soma Biblia Kila Siku 05/2020

Soma Biblia Kila Siku 05/20 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu hasa katika kitabu cha Ayubu, Zaburi na 1 Yohana. Mpango huu una maelezo mafupi yatakayokusaidia kuelewa zaidi Neno la Mungu. Karibu kujiunga na mpango huu

More