Soma Biblia Kila Siku 05/2020预览

Soma Biblia Kila Siku 05/2020

31天中的第11天

Ayubu anataja viini vya mafanikio mbalimbali vipatikanavyo duniani. Huasilika ardhini ambamo sayansi na teknolojia hukifunua kitu kilichostirika (m.11). Hivyo watu wengi hutumaini na kutegemea kuna siku binadamu hukomesha giza (m.3). Hapana shaka maarifa yetu hayajafikia hatua ya kufahamu hasa thamani ya rasilimali hizo. Lakini Ayubu anatukumbusha kuwa ubora na umuhimu wa madini hauongezi hekima machoni pa mtu. Je, unajua hekima inapatikana wapi, na unayo? Kima chake chapita vyote.

读经计划介绍

Soma Biblia Kila Siku 05/2020

Soma Biblia Kila Siku 05/20 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu hasa katika kitabu cha Ayubu, Zaburi na 1 Yohana. Mpango huu una maelezo mafupi yatakayokusaidia kuelewa zaidi Neno la Mungu. Karibu kujiunga na mpango huu

More

相关题材的计划