Hadithi ya Pasaka: Kuchunguza Kifo na Ufufuo wa Yesu

16 na mga Araw
Kusulubishwa na kufufuka kwa Yesu kumeelezwa katika injili zote nne. Likizo hii ya Pasaka, soma kuhusu jinsi Yesu alivyovumilia usaliti, mateso na kudhalilishwa msalabani kabla ya kubadilisha dunia kupitia tumaini lililotolewa kwa ufufuo wake. Video fupi yaeleza kila upande wa hadithi kwa kila siku ya mpango huu.
Tungependa kuwashukuru GNPI Kenya kwa kutoa mpango huu. Kwa habari zaidi, tafadhali tembelea: https://www.gnpi.org/tgg
Mga Kaugnay na Gabay

Sa Paghihirap…

Masayahin ang ating Panginoon

BibleProject | Bagong Kasunduan, Bagong Karunungan

Mag One-on-One with God

BibleProject | Maikling Kurso tungkol kay Apostol Pablo

Ang Kwento ng Naglayas na Anak

Prayer

BibleProject | Walang-Hanggang Pag-ibig ng Diyos

Nilikha Tayo in His Image
