1
Marko MT. 3:35
New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921
SWZZB1921
Kwa maana mtu ye yote atakaeyafanya mapenzi ya Mungu, huyu ndive ndugu yangu, na umbu langu, na mama yangu.
Paghambingin
I-explore Marko MT. 3:35
2
Marko MT. 3:28-29
Amin, nawaambieni, Dbambi zote watasamehewa wana Adamu, na kufuru zao watakazokufuru zote; bali mtu atakaemkufuru Roho Mtakatifu hana masamaha hatta milele; bali atakuwa ana dhambi ya milele
I-explore Marko MT. 3:28-29
3
Marko MT. 3:24-25
Na ufalme nkilitinika juu ya nafsi yake ufalme ule hauwezi kusimama; na nyumba ikifitinika juu ya nafsi yake, nyumba ile haiwezi kusimama.
I-explore Marko MT. 3:24-25
4
Marko MT. 3:11
Na pepo wachafu, killa walipomwona, wahanguka mbele yake, wakalia wakinena, Wewe ndiwe Mwana wa Mungu.
I-explore Marko MT. 3:11
Home
Biblia
Mga Gabay
Mga Palabas