1
Marko MT. 10:45
New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921
SWZZB1921
Kwa maana Mwana wa Adamu nae hakuja kukhudumiwa bali kukhudumu, na kutoa roho yake iwe dia ya wengi.
Paghambingin
I-explore Marko MT. 10:45
2
Marko MT. 10:27
Yesu akawakazia macho, akanena, Kwa wana Adamu haiwezekani, bali kwa Mungu sivyo; maana yote yawezekana kwa Mungu.
I-explore Marko MT. 10:27
3
Marko MT. 10:52
Yesu akamwambia, Enenda zako, imani yako imekuponya. Marra akapata kuona tena; akafuata Yesu njiani.
I-explore Marko MT. 10:52
4
Marko MT. 10:9
Bassi alivyoviunganisha Mungu, mwana Adamu asivitenganishe.
I-explore Marko MT. 10:9
5
Marko MT. 10:21
Yesu akamkazia macho, akampenda, akamwambia, Umepungukiwa neno moja Enenda, ukauze ulivyo navyo vyote, uwape maskini, nawe utakuwa na hazina mbinguni: ukiisha, njoo ukajitwike msalaba wako unifuate.
I-explore Marko MT. 10:21
6
Marko MT. 10:51
Yesu akamjibu, akamwambia, Wataka nikufanyieni? Yule kipofu akamwambia, Rabbi, nipate kuona tena.
I-explore Marko MT. 10:51
7
Marko MT. 10:43
Lakini haitakuwa hivi kwemi; bali mtu atakae kuwa mkubwa kwenu, atakuwa mkhudumu wenu
I-explore Marko MT. 10:43
8
Marko MT. 10:15
Amin, nawaambieni, Yeye yote asiyeukubali nfalme wa Mungu kama mtoto mchanga hatauingia kabisa.
I-explore Marko MT. 10:15
9
Marko MT. 10:31
Lakini wengi walio wa kwanza watakuwa wa mwisho: na wa mwisho wa kwanza.
I-explore Marko MT. 10:31
10
Marko MT. 10:6-8
Lakini tangu mwanzo wa kuumbwa ulimwengu, Mungu aliwafanya mtu mume na mtu mke. Kwa sababu hiyo mtu atamwacha baba yake na mama yake, ataambatana na mkewe: na hawo wawili watakuwa mwili mmoja; hatta wamekuwa si wawili tena, bali mwili mmoja.
I-explore Marko MT. 10:6-8
Home
Biblia
Mga Gabay
Mga Palabas